WAZIRI GWAJIMA AWATWIKA WAZEE JUKUMU LA MALEZI
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wazee wanaume waliohudhuria hafla ya Harambee ya kukiimarisha Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akimkabidhi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Wanume Tanzania mchango
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed